DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Monday 1 May 2017

TID APONZWA NA MAKONDA

TID APONZWA NA MAKONDA

Msanii mkongwe kwenye gemu la bongo fleva amedai siku hizi inabidi uhonge fedha ili muziki wake upigwe redioni na yeye pia inabidi afanye hivyo 
Amesema kuna nyimbo mbovu sana siku hizi ambazo zinapigwa redioni na kwenye Tv hadi zinapendwa kwa kuwa Ma DJ wanahongwa 

Pia sasa hivi amedai watu wengi wamemtenga baada ya kuachana na madawa ya kulevya na kuwa karibu na Makonda 

No comments: