DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Tuesday 9 May 2017

BASAGA ATANGAZA UJIOMPYA AWAONYA WALIOSEMA AMEPOTEA,BAADA YA BADILISHA POZI SASA ANATAFUTA BAUNSA

Msanii anaetamba na wimbo Wa badilisha pozi aliofanya na becka amemtoa hofu nay Wa mitego baada ya kuwepo na tetesi kwa muda mrefu kuwa amekuwa akimnyima amani rais Wa manzese kwa kuwa amemtake over na hata hivyo amekuwa akiandika mistari ambayo inaonekana kumlenga moja kwa moja nay Wa mitego

Basaga amesema hayo kwenye interview wakati akijibu maswali matano ya mwandishi wetu kama ifuatavyo;

1:kwanini umekuwa kimya kwa muda'

"Ni kweli nimekuwa kimya kwa muda hii ni baada ya kutoa Wimbo na becka Wa badilisha pozi ambayo ulifanya vizuri hivyo ikanibidi nitulize akili ilikuandaa Wimbo mngine ambao utakuwa mkubwa na utanifikisha mbali zaidi ambapo hata hivyo nimefanya ngoma kama 4 ambazo mmoja utatoka hivi karibuni mambo yakikaa sawa kwani kwa sasa kila kitu kiko tayari kuanzia audio hadi video lakini siwezi sema nimefanya na nani au hizo zingine nimefanya na nani lakini zote nimefanya na wasanii wakubwa nawaomba mashabiki zangu awajiandae kunipokea upya".

2:vipi kuhusiana na bifu lako na nay Wa mitego.!!?

" nay sina tatizo nae kabisa sema tu watu wengi wanasema mimi na bifu nae kwa kuwa nimemchana kwenye nyimbo zangu kadhaa lakini hii ni vina tu  so namuomba awe na amani na kingine watu husema na bifu nae kwa kuwa tunafanya Muziki unaofanana so nay mdogo wangu kuwa na amani sina tatizo na wewe.

3:NI MSANII GANI ANAKUPA CHANGAMOTO KIBONGO BONGO..!?

"Naweza kusema kwa namna moja ama nyingine hakuna Msanii ambae ananipa changamoto kwa sababu Muziki sahivi ni ushindani hivyo kila mmoja hufanya vizuri pale anapopata nafasi na Pamoja na kuwa ushindani umekuwa mkubwa lakini naamini kwa huu Wimbo wangu Mpya utakao toka hivi karibuni 'NATAFUTA BAUNSA' utakuwa ni kiboko yao nakuja kutake over na najua utageuza upepo na utakuwa changamoto kubwa kwa wasanii ambao wanafanya vizuri sahivi."

4:CHANGAMOTO GANI AMBAZO UMEKUWA UKIKUMBANA NAZO..!??

"changamoto zipo nyingi zipo ambazo mtu mwenyewe unaweza kuzimudu na ambazo huwezi mfano usumbufu kutoka kwa watoto Wa kike na nyingine ambazo huwezi kuzitatua wewe kama wewe kama unavyojua wasanii Wa bongo hatuna ushirikiano na ndiyo maana namshukuru mungu kwanza na mashabiki wangu kwa ujumla kwani naamini bila wao siwezi na Mimi kufanya lolote so big up kwa mashabiki wangu kokote wrote walipo."

5:NINI WASANII GANI AMBAO TAYARI ULISHAFANYA NAO KAZI NA NI WAPI AMBAO UNAFIKIRIA KUFANYA NAO KAZI...!!!?

"Ambao nilishafanya Kazi ni wengi mno mfano becka ambayo tayari ilishatoka,Ben Paul,20percent,na wengine wengi ambaonitatoa Kazi hizo muda ukifika,na wasanii ambao nafikiria kufanya NAO Kazi ni johmakini,jmoe,fidq,youngkiller pamoja na darasa ambao ndani ya Mwana huu naamini hizo Kazi zitakuwa tayari."

5:NINI AMBACHO UNGEPENDA KUWAMBIA MASHABIKI ZAKO.

" cha kwanza mimi nawashukuru kwa support yao kwangu ambayo wamekuwa wakiionyesha kwa Kazi zangu niwaombe waipikee na hii Kazi Mpya ambayo sitasema nimemshirikisha nani lakini hivyo nawaachia kama surprise pili niwaombe wanipigie kura ili niweze kushinda tuzo za nyumbani nako tokea njombe kama Msanii bora Wa hip hop na Wimbo bora Wa mwaka unaweza kunipigia kura kama ifuatavyo:

Naomba Kura yako NYOTA AWARDS NJOMBE 2016/17..

MWANAMUZIKI BORA WA KIUME

Andika (sms) B30  kwenda 0719 009443 (Mara 3 kwa siku)

WIMBO BORA WA HIP HOP (Badilisha Pozi)

andika E27 kwenda 0719 009443 (Mara 

3 kwa siku

Kwahiyo jumla unakua umenipigia kura 6


No comments: