DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Showing posts with label mdukuzi. Show all posts
Showing posts with label mdukuzi. Show all posts

Sunday, 8 August 2021

August 08, 2021

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA HEDHI

 Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...

Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}.. 

 MADHARA KWA MWANAUME.
1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.

 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.

 3.Kuziba kwa njia ya mkojo.

 4.Utasa au ugumba.

 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

MADHARA KWA MWANAMKE.

1.Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVICINFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.

 2.Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).

 3.Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.

 4.Utasa au Ugumba.

 5.Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia:Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka kusex.

August 08, 2021

SIRI KUBWA JUU YA VIRUSI VYA CORONA

 CORONA VIRUS

AJENDA YA (2021-2030) YA FREEMASONS KUTOKA MWAKA 1776 MPAKA MWAKA 2030 NA PUNGUZO LA WATU DUNIANI.

Tuangalie kile kinachojulikana kama ajenda 21-2030 ya Illuminati iliyoandaliwa na Profesa. Adam Weishaupt, aliyeandaa mpango ujulikanao kama Long Term Plan, yaani mpango wa muda mrefu ,ukiwa ni mkakati maalum wa kuutawala ulimwengu chini ya dini na Serikali moja ya dunia.
Mpango huo unaitwa "Agenda 21-2030 and illuminati New World Order " inamaanisha hitimisho la kutekelezwa kwa ajenda 36 ndani ya karne ya 21 hususani katika kipindi kuanzia mwaka 1776 hadi mwaka 2030. Hiki ni kipindi cha miaka 254 yaani(2+5+4=11) iliyowekwa na Profesa Adam weishaupt aliyeanzisha taasisi ya illuminati mwaka 1776 wakati Marekani ilipopata Uhuru wake, hatua muhimu iliyochukuliwa hivi karibuni katika kutekeleza agenda 21 -2030 ni wakati wa mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa uliofanyika tarehe 15/Septemba 2015 mjini New York Marekani pamoja na mkutano wa World Economic Forum uliofanyika mwaka 2018 huko Davos nchini Switzerland.
Watu muhimu katika kutekeleza ajenda za wajenzi huru walihudhuria Kwenye mkutano huo kwa lengo la kuwahamasisha viongozi wote kukubali mpango wa kuanzishwa kwa Serikali moja ya dunia haraka iwezekanavyo hata hivyo taarifa hizi hazitolewi kwa uwazi na vyombo vikubwa vya habari zaidi ya kuzipata kutokana na juhudi za watu binafsi wanaochunguza mwenendo wa juhudi za wajenzi huru katika kufanikisha mpango wa muda mrefu uliowekwa na Profesa. Adam Weishaupt.
Tukichunguza kwa umakini na kuhusianisha matukio yanayoendelea kutokea duniani, basi ni wazi kwamba tutakuwa tunajionea wenyewe jinsi mpango wa ajenda 21-2030 unavyofanya kazi, idadi ya watu inatakiwa kupungua na kufikia watu milioni 500 ambao watawatumikia mabwana wachache katika Serikali moja ya dunia.
Ili kufanikisha hili wajenzi huru walianzisha Sera za Ubaguzi wa rangi kusababisha machafuko sehemu mbalimbali,mfano, Kongo, Libya, Syria, Rwanda, Sudan, n.k kusababisha wimbi la wahamiaji na wakimbizi, kuhafifisha maadili ndani na nje ya nyumba za ibada, kuondoa Uhuru wa Mahakama ili haki isitendeke, kusababisha hali ngumu ya maisha na kuwafanya raia wote duniani kuwa tegemezi kwa Serikali zao, kuondoa mipaka ya nchi kwa lengo la kuunda majimbo 10 yatakayokuwa chini ya Serikali moja ya dunia.
Kwa nje" 21 Agenda "imepewa jina la " New Universal Calendar" ikijulikana pia kama "Agenda 2030 Program " inayosisitiza watu kufanya kazi kwa pamoja ili kuondoa umaskini duniani chini ya mwamvuli wa kukomesha machafuko, kutokomeza umaskini na kuleta haki sawa, mpango mpya wa ulimwengu utaanzishwa. Bahati mbaya ni kwamba watu wengi hawajui kinachoendelea nyuma ya pazia. Tayari viongozi mbalimbali wa kisiasa na kiroho ikiwa ni pamoja na Papa, wamebariki "Agenda 2030 " na kuunga mkono utekelezwaji wake, lakini ukweli ni kwamba ajenda 2030 ni nyenzo ya illuminati katika kusukuma gurudumu la kuelekea mpango mpya wa dunia ikiwa ni miaka 15 kuanzia mwaka 2015 baada ya mkutano wa Umoja wa Mataifa kumalizika mjini New York.
Hii inamaanisha kwamba ama mwaka 2030 au Kabla ya mwaka 2030 wajenzi huru watakuwa wamekamilisha ajenda 36 na dunia itakuwa inatawaliwa chini ya Serikali na dini moja ya dunia. Lakini hili linategemea iwapo Mungu ataruhusu watekeleze mipango yao katika kipindi walichopanga. Benjamin Disraeli, Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza alisema" The world is governed by people far different from those imagined by the public " akimaanisha kwamba ulimwengu unaongozwa na watu tofauti kabisa na wale wanaodhaniwa na umma kuwa ndio viongozi wao, hao si wengine bali ni illuminati na wajenzi huru, kwa kuwa wanafanya kazi kwa siri, hawahitaji kujitokeza mbele ya umma bali huweka mawakala wao kwenye ofisi na wao wakiwa wanatawala kwa kutumia "Remote Control".
Bilionea wa teknolojia ya software Bwana Bill Gates pamoja na mkewe Melinda Gates wamekuwa wakitoa tamko la kupunguza idadi ya watu kwa kutumia chanjo. siku ya julai 11 2012 wakiwa na uongozi wa Umoja wa Mataifa (UN) pamoja na viongozi wa kiserikali kutoka mataifa mbalimbali waliadhimisha miaka 100 tangu mkutano wa kwanza uliojulikana kama " First international Eugenics Congress " jijini London kwa kufanya hafla iliyohusu uzazi wa mpango "Family Planning " wakiwa na wanaharakati wanaoeneza Sera za utoaji mimba ikiwa ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
Bill Gates katika hafla hiyo alisisitiza "let's look at each one of these and see how we can get this down to zero, probably one of these numbers is going to have to get pretty near to zero ,That's fact from high school algebra" akaendelea kufafanua "let's take a look ,first we got population ,The world today has 6.8 bilion people ,That's headed up to about 9 bilion people ,Now if we do a real great job on new vaccines , health care, reproductive health services ,we could lower that by perhaps 10 or 15 percent " akimaanisha kwamba ulimwengu una watu wapatao bilioni 6.8 kuelekea bilioni 9 ,sasa kama tukifanya kazi kubwa kwa kutumia chanjo mpya, huduma za afya, tunaweza kupunguza Pengine hadi asilimia 10 au 15.
Mwezi wa 5 mwaka 2012 mfuko wa Gates Foundation ulitoa jumla ya paundi 100,000 kwa watafiti wa Chuo Kikuu kinachoitwa University of North Carolina na Chapel Hill, kwa makusudi ya kutafuta njia ya kudhibiti ongezeko la watu duniani. Mfuko wa Gates Foundation umekuwa ukifanya kazi pamoja na UN na kuweka Sera ya kuwa na mtoto mmoja nchini China, Gates Foundation imekuwa ikifanya kazi na WHO ikiwa ni pamoja na kuwalazimisha akina mama na watoto kupigwa chanjo.
Pia Inafanya kazi na Serikali ya Uingereza ambapo Julai 11 kitengo cha Serikali ya Uingereza, UK Department for International development " kiliandaa Mkutano wa Eugenics International Conference wakati Gates Foundation ulitoa mamilioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya chanjo za watoto na akina mama nchini India, Gates Foundation wanafanya kazi pamoja na kuhakikisha akina mama wanafuata uzazi wa mpango hata kwa kutoa mimba(abortion).
Bill Gates aliwahi kuhutubia utabiri wake kuhusu virusi hivi vya corona miaka iliyopita 2018 na kudai virusi vya corona vitaua mamilioni ya watu , hii ilikuwa ni sehemu ya mipango ya illuminati, hata David Goldberg, aliwahi kuonya kwamba virusi vya corona ni tukio ambalo litatokea mwaka 2020, kwenye maneno yake ya mwisho kabla hajauawa.

Ilisemekana virusi vya corona vinatokana na supu ya Popo na China wanapenda sana supu hiyo, hivyo wataalamu walidai chanzo cha Corona ni matumizi ya supu ya Popo, huko nchini Libya Serikali ya nchi hiyo iliwahi kukamata virusi vilivyokuwa vimepangwa kusambazwa kwa makusudi nchini humo. Hata nchini Tanzania serikali iliwahi kubaini kontena la kondomu aina ya stud lililokuwa na kondomu zilizopandikizwa tayari virusi vya ukimwi na kuyateketeza yote ili kunusuru raia wake.
Virusi vya corona huambukizwa kwa hewa na majimaji ya muathirika ,dalili zake ni pamoja na kuumwa kichwa, kukohoa sana kama mgonjwa wa kifua kikuu, koo kubana, mbavu kubana kukosa pumzi hadi mgonjwa kufa, jinsi ya kujikinga ni kuvaa Maski au kuziba pua na mdomo kwa kitambaa kisafi na kibaya zaidi hakuna dawa wala chanjo, pia ugonjwa unaambukiza Kabla ya kuonyesha dalili kwa muathirika, eneo ambalo muathirika atakuwa kaacha virusi hivyo, virusi hivyo vitakaa eneo hilo kwa muda wa wiki mbili na kisha hufa, maambukizo yake hayana tofauti na homa ya ini, yaani kwa kugusana au kushikana .
Taarifa ya kutoka (SVR) , Secret Foreign High Intelligence Service iliyovuja na kusomwa na chanzo cha Kremlin ,ilieleza kuwa virusi vya Zika vilitengenezwa kama silaha ya kibaiolojia na Mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali alikuwa ni Bill Gates mmiliki wa Bill & Melinda Gates Foundation ( juga:Lebih.of 2.000 pregnant women in Colombia infected with zika virus)
Mwaka 1921 Margaret Sanger aliwahi kupewa fedha hizo na akaanzisha taasisi inayoitwa "American Birth Control League" (ABCL) ilipofika mwaka 1923 ABCL ilianzisha kitengo kingine kinachojulikana kama "Birth Control Research Bureau (BCRB) kwa lengo la kufanya tafiti mbalimbali za kudhibiti ongezeko la watu duniani.
Mwaka 1939 ABCL liliungana na taasisi nyingine na kuitwa Birth Control Federation of America (BCFA) na ilipofika mwaka 1942 BCFA ilibadili jina na kuitwa Planned Parenthood Federation (PPF) Tangu wakati huo hadi leo kumekuwepo na taasisi nyingi duniani kote zilizotokana na ABCL na hatimaye PPF ikiwa ni kazi ya familia ya wajenzi huru ya Van Duyn, kwa lengo la kutekeleza mipango ya illuminati kabla ya kuanzishwa kwa Serikali moja ya dunia.

Kuna mifumo mingi inayomilikiwa na Freemasons na kutoa fedha zake katika taasisi ya PPF ikiwa ni pamoja na FORD Foundation; Morgan Guaranty Trust, Z.S. Reynolds Foundation, Bill and Melinda Gates Foundation, pamoja na mifumo mingine mingi duniani.
Mwandishi William Cooper anaandika katika kitabu chake " Behold a pale Horse" Katika ukurasa wa 166-167 anasema, kwamba Planned Parenthood Federation, walifanya tafiti tatu zilizokuwa na lengo la kutafuta njia za kupunguza ongezeko la watu duniani.
Utafiti wa kwanza ulifanyika mwishoni mwa vita Kuu ya kwanza ya dunia, utafiti wa pili ulifanyika huko Huntsville, AL mwaka 1957 na utafiti wa tatu ulifanyika mwaka 1968, Tafiti zote tatu zilifikia hitimisho la kupunguza idadi kubwa ya watu duniani kwa kutumia njia yoyote ile iwezekanavyo Kutokana na tishio la kasi kubwa ya ongezeko la watu.
Muumini wa Freemasons na Msomi mkubwa katika fani ya utabibu Dr. Aurelio Peccei alibaini uwezekano wa Janga lililojulikana kama "Black Plague" na hatimaye Janga hilo likapewa jina la AIDS ,William cooper anasema kwamba Illuminati na Freemasons wanayo tiba ya Ukimwi hata Kabla ya kulipuka kwa ugonjwa huo lakini hawawezi kutoa tiba hiyo hadi idadi hiyo ya watu imepungua kwa kiasi kitakachowaridhisha.
Dr Aurelio Peccei alishirikiana na madaktari kadhaa kutengeneza AIDS ambapo mmoja wa madaktari hao alikuwa ni Dr Wolf Szmuness aliyesoma na kuishi kwenye chumba kimoja na Marehemu Papa yohana Paulo II, ni mpango wa wajenzi huru kupunguza idadi ya watu kwa njia mbalimbali kutokana na madai kwamba watu wengi siyo wazalishaji bali watumiaji na kwamba ni vigumu kwa Serikali moja kutawala na kuhudumia mabilioni ya watu wasio na faida katika uchumi wa dunia.
Katika kutimiza mpango wa Marekani WHO iliwahi kushirikishwa katika kikao cha kupunguza idadi ya watu maarufu kama mkutano wa Henry Kissinger ,ulioitwa NSSM au Security Study Memorandum 200 au (NSSM -200) ajenda hii ilitangazwa jumanne ya Desemba 10, mwaka 1974, kuzindua ugonjwa wa ukimwi duniani, mwaka 1980 wakatangaza kwamba "dunia ipo huru dhidi ya Ugonjwa wa ndui, ugonjwa uliodumu kwa kampeni ya miaka 13 ya chanjo, kampeni ya ndui ilianza mwaka 1967, WHO mwaka 1980 ikatangaza kwamba ndui imefutiliwa mbali, ghafla mwaka 1981 ikatangaza chanjo ya ndui yaanzisha Ugonjwa wa UKIMWI, kiasi cha waafrika milioni 100 wanaoishi Afrika ya kati walichanjwa na WHO.
Hilo linakwenda Sambamba na uanzishwaji vita ya tatu ya dunia, ingawa vita ya tatu ya dunia imepangwa kutumia muda mfupi zaidi ukilinganisha na vita kuu mbili zilizotangulia lakini inakadiriwa kwamba watu wengi Zaidi watauawa katika vita ya tatu ya dunia kuliko vita mbili kuu zilizopita hii ni kwasababu teknolojia ya silaha za kivita imeongezeka ikilinganishwa na miaka iliyopita.
Hitler alitangaza mwanzo wa vita kuu ya pili ya dunia vita kuu ya pili ya dunia ilianza mwaka 1939 na kuchukua miaka 6 yaani mwaka 1945.Inasemekana idadi ya watu waliolengwa kupoteza maisha ni zaidi ya idadi ya watu waliopoteza maisha wakati wa vita kuu mbili zilizotangulia kwa pamoja na kujumlisha watu waliopoteza maisha wakati wa mateso makali ya mnyama wa namba 666 kuanzia mwaka 538 hadi mwaka 1798. Historia inasema kwamba jumla ya watu milioni 37 waliuliwa Kwenye vita kuu ya kwanza ya dunia ambapo kati ya hao milioni 27 walikuwa ni raia lakini pia jumla ya watu milioni 80 waliuliwa Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.
Idadi hiyo ilikuwa ni asilimia 3 ya jumla ya wakaazi wa dunia kwa kipindi hicho waliokadiriwa kufikia watu bilioni 2.3 na wakati wa mateso yaliyofanywa na Mnyama wa namba 666 jumla ya watu milioni 150 walipoteza maisha yao kwa sababu ya kutetea ukweli. Kwa sasa tunaambiwa dunia inakadiriwa kuwa na wakazi jumla ya bilioni 7 hadi mwaka 2011 ambapo wajenzi huru wanaona kuwa idadi hiyo ni kubwa sana kuweza kutawalika kirahisi na kwamba wengi wa wakazi wa dunia hii ni watumiaji tu ( consumers) na siyo wazalishaji ( producers) na ndiyo maana kuna uhaba wa chakula, makazi bora, afya bora, na vita na machafuko yasiyo na mwisho. hata hivyo si kweli kwamba wingi wa watu ndio unaosababisha machafuko na njaa bali kusudio lao kuu ni kupunguza idadi ya watu ikiwa ni njia mojawapo ya kumsaliti Mwenyezi mungu ambaye alishasema watu wazaliane kwa wingi ili kuijaza dunia.
Hivyo nawasihi sana ndugu zangu muweni makini sana na chanjo ya korona kwani huu ni mojawapo ya mpango wa freemason na dini ya kishetani kupunguza idadi ya watu duniani.

NINI MAANA YA 666?
Wakristo wengi wanafahamu kuwa 666 ni alama ya mnyama yaani mpnga kristo (masih Dajjal kwa waisalamu). Moja ya hadithi za mtume aliandika kuwa, Hata kama ataleta machafuko makubwa duniani, neno kafir litakuwa limendikwa katikati ya macho yake. “ana macho mawili ila moja ni chongo. Hivyo mnyama huyo atakuwa na jicho moja linaloona`kama ilivyo kwenye nembo ya freemason yenye jicho moja katikati”
Wasomaji yawapasa kuelewa maana na tafsiri ya alama/namba 666. Alama/namba hii 666 imetokana na tafsiri ya namba za kigiriki kuja kwenye lugha ya kingereza ambapo jina hilo huwakilisha jina la kiumbe afahamikaye na wengi kama mpinga kristo.
Wagiriki wa zamani kila herufi ilikuwa na thamani ya namba Fulani, na namba 6 ilikuwa na thamani ya herufi W. hivyo 666 ni sawa na WWW kama inavyotumika katika intanet. Kwenye mtandao/intanet kulikuwa na uwezo wa kutumia herufi nyingine kuliko www, na pia kungekuwa na uwezo wa kutumia w moja au ww ziwe mbili lakini waanzilishi wa mitandao wakaamua kutumia www kama inavyotumika kwenye mitandao mingi mfano www.facebook.com, www.instagram.com, www.twitter.com, www.gmail.com, n.k. hivyo niwazi kuwa waanzilishi na watengenezaji wa mitandano watakuwa na ushirika wa namna moja au nyingine na mpinga kristo na ndio maana mitandao yote inaanza na jina la mnyama na sio vinginevyo.
Pia sarafu ya ulaya (EURO) ina nyota sita (6) upande wa juu, nyota sita (6) nyingine upande wa chini na mistari sita (6) inayounganisha nyota hizo ambapo hutengeneza jina la mnyama la 666. Lakini pia kuna mashirika na kampuni kubwa duniani ambazo zina viashilia vya kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na mpinga kristo kama vile Vodafone, waly desney, child care council na google chrome.


katika bunge la ulaya, lina viti 679 mathalani kila kiti kina namba na jina la mtu au mtungasheria mmoja anayekalia hicho kiti. Kila kiti mhusika wake anayekikalia yupo ispokuwa kiti kimoja tu ambacho ni kiti namba 666. Kiti hicho huwa hakikaliwi na mtu kumaanisha kwamba mhusika wake hajafika japo uwepo wake wanautambuna na kumtayarishia mazingira ya ujio wake.

Kusudi la freemason chini ya huyo mpinga kristo ni kuanzisha sera zinazoporomosha uchumi wa dunia na kuwatia wanadamu umaskini na kuwafanya watumwa na ombaomba daima. Njia nyingine anayoitumia Dajjal yaani mpinga kristo kuwafanya watu wamfuate ni kusambaza maradhi. Atakuwa na uwezo wa kusambaza maradhi na kuyatibu kiusahihi na kwa hali hiyo atawavuta wengi katika dini yake ya freemason au kiuwazi zaidi ya kishetani kama inavyoandaliwa na mpango wa New world order .

Saturday, 3 June 2017

June 03, 2017

KNOW ABOUT ELECTROMAGNETIC RAYS FROM THE PHONES AND TVs

The acceptance of mobile phones in Australia has been phenomenal, a total of about four and a half million being presently in use. However, not so welcome for many people has been the sprouting of mobile telephone towers in unexpected places close to homes and schools. There are now about 2000 of them. It is reported that expanding phone companies in the US are hiding the antennae in church steeples, arena lighting, artificial trees and flagpoles. It is the newness and the close proximity of these towers that has made them more controversial than the established radio and TV towers. However, all transmit electromagnetic radiation (often referred to by officials as 'electromagnetic energy' in order to avoid the term 'radiation') which some scientists have implicated in increased incidence of cancer.
Undoubtedly there has been an aesthetic angle to the debate on mobile phone tower placement; some residents find them very ugly and likely to depress house values for that reason alone. But a Four Corners program in July 1995 alerted many Australians for the first time to the possible health effects not only of high-power transmitters but of mobile phone use. Anecdotal but still compelling accounts of cancer association with exposure to transmitters and mobile phone use featured in the program. A CSIRO report of the previous year(1) had urged that more research on health effects be carried out. Also in 1995, a preliminary study of cancer incidence in Sydney appeared to show an increase of childhood leukaemia in homes relatively close to TV transmitters(2). Meanwhile, there has been a controversial move to have the existing Australian radiation standard loosened by a factor of five in order to bring it into line with overseas standards.
This paper is intended to provide background on the two-year Australian debate on the possible hazards of electromagnetic radiation from transmitter towers. Of immediate importance is the prospect of looser national electromagnetic radiation standards, which raises questions as to the validity of the basis for such standards in terms of what laboratory or other results have been relied on for setting standards. The relative energy of radiation received from transmitter towers compared with hand-held mobile phones is relevant and is discussed. So also is the range of reported laboratory effects on test animals and cells observed at very low levels of radiation near the standard or less; are they meaningful? The paper concludes with a suggested approach to experimental work which may help us to determine whether Australian and world standards are soundly based or not.
The Electromagnetic Spectrum - Radiofrequency Range
For an understanding of the issues involved, it is necessary to have some knowledge of the range and nature of the electromagnetic radiation (EMR) spectrum . Electromagnetic radiation may be thought of in terms of waves in air which transmit energy but can also be modulated (controlled) through amplitude, pulsing, etc. to transmit speech, TV images and so on. These waves have a range or spectrum of frequency expressed in hertz, i.e. cycles per second. At the higher frequencies we have kilohertz, megahertz and gigahertz. The greater the frequency, the shorter the wavelength and the greater the energy transmitted.
A significant division within the EMR spectrum is the frequency at about 10 million gigahertz above which waves become ionising in nature, i.e. they are capable of knocking electrons out of atoms to form ions. Thus ultraviolet rays, X-rays and gamma radiation are ionising because they are of greater frequency than 10 million gigahertz. When directed at the body, such radiation is known to be capable of initiating cancer through damage to genetic material (DNA). Too much sunlight, too many X-rays or too much exposure to the gamma-radiating isotope cobalt-60 can cause cancer.
That part of the EMR spectrum of concern in this paper is non-ionising and is known as radiofrequency/microwave radiation (RF radiation for short). This is defined in the Australian Standard (AS 2772.-1990) as waves having frequencies from 100 kilohertz up to 300 gigahertz . The radiofrequency spectrum includes, in increasing order of energy, waves from AM radio, FM radio, TV (very high and ultra high frequency), mobile phones, police radar, microwave ovens and satellite stations.
All electromagnetic radiation involves an oscillating electric field and a magnetic field. Whereas at the extremely low frequency end of the spectrum (e.g. AC current at 50 or 60 hertz) the two fields can be measured and considered separately, in the radiofrequency spectrum they are measured together. The intensity (' power density ') of the combined fields can be readily expressed in terms of a power unit relative to area (e.g. watts per square centimetre) which denotes the electric and magnetic fields as a multiple. Absorption of electromagnetic radiation energy by living organisms can be expressed in terms of watts per kilogram. This represents the dose, or more correctly, the specific absorption rate (SAR). The value for SAR is not always easy to calculate, especially in respect of individual organs or cell types.
Intense waves in the radiofrequency spectrum are readily able to raise the temperature of, say, a culture of cells brought near the source of radiation (the principle of the microwave oven) as wave energy is converted to heat energy on contact with the cells. This is known as a thermal effect . However, because the radiation is non-ionising there is no electron stripping of cellular DNA and therefore no direct initiation of cancer. Radiofrequency standards to protect health are totally based on avoiding thermal effects (see below).
Thermal Effects of Radiofrequency EMR - Relation to Standards
The thermal or heating effects of radiofrequency radiation (including microwaves) on living organisms are well known, they are dose-related and they are mostly reproducible. These crucial characteristics have been regarded by many scientists as justifying the selection of thermal effects as a powerful and single basis for determining health standards. The following information has been adapted from information contained in the previously mentioned CSIRO review report.
Heating caused by RF radiation is caused mainly by water molecules lining up with the electric field imposed by the radiation. Since the field is oscillating very rapidly (wave frequency), the water molecules are rapidly swinging one way then another in sympathy, thus generating heat. Some biological molecules are also influenced by applied electric fields.
Exposure of people to a dose of radiofrequency radiation of less than about 4 watts per kilogram body weight is thought to give rise to an increase in body temperature of less than 1o Centrigrade and can be reasonably well tolerated for short periods. Higher induced temperatures are not tolerated, however, and have several well-known deleterious effects, depending on the precise location of radiation absorption. An effect observed at RF intensities sufficient to raise the rectal temperature of an experimental animal by 1o C or more is classified as thermal in nature. Such effects could be induced by any method designed to raise body temperature.
Firstly, the skin can detect RF radiation but the sensation is much less than that from infrared radiation and is extremely dependent on frequency which determines penetration. In the range 0.5-100 gigahertz, skin detection is not regarded as a reliable warning mechanism.
Heat effects on brain tissue are thought to be the reason why people can actually hear pulsed radiofrequencies between 200 megahertz and 6.5 gigahertz. The sound is described as 'buzzing, clicking, hissing or popping'.
Thirdly, the eyes are felt to be peculiarly sensitive to RF radiation. Lens tissue has no blood supply to act as coolant, there is little self-repair at that site and thus damage and damage products tend to accumulate. At a threshold of about 41o C, exposed laboratory rabbits show cataract formation. Further work needs to be done on the susceptibility of primate eyes, which seem to be less sensitive.
Fourthly, rat testes exposed to RF radiation leading to temperature increases of 1.5-3.5o C are damaged to the extent that there is temporary infertility and an altered division pattern of germ cells.
Fifthly, the thermal disruption of
behaviour by RF radiation, e.g. task learning and short term memory, has been demonstrated in the rat. Effects were observed at doses between 0.6 and 8 watts per kilogram.
Sixthly, the circulatory and immune system in rodents shows some alterations in response to RF radiation. For example, blood cell counts decline in some experiments while the immune system appears to be stimulated. Once again, these effects appear to be thermally induced.
One laboratory has reported symptoms similar to heat stroke leading to death in rats following exposure at three microwave frequencies.
Lastly, a body temperature of 43o C in pregnant rats brought about by a dose of 11 watts per kilogram of RF radiation caused abnormalities and death of embryos. So long as there is a temperature increase of at least 2.5o C, birth defects can be expected to occur.

Friday, 2 June 2017

June 02, 2017

Kesi ya Wema ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya Yafikia Hatua Hii Mahakamani.


Malkia wa filamu nchini Wema Sepetu Alhamisi hii amepanda tena katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa mara ya tatu kusikiliza kesi yake inayomkabili ya tuhuma za kutumia na kukutwa na madawa ya kulevya.

Mrembo huyo alisindikizwa na baadhi ya waigizaji wenzake akiwemo Neema Ndepanya. Hata hivyo madam Sepenga amekana shtaka hilo na kesi hiyo imeahirishwa mpaka Julai 14 ndio itasikilizwa tena.

Wema alitiwa mbaroni na jeshi la polisi mapema mwezi February mwaka huu na kusota rumande kwa siku saba huku akituhumiwa kukutwa na msokoto wa bangi nyumbani kwake baada ya kufanyiwa msako mkali.

Monday, 1 May 2017

May 01, 2017

RIHANA ATOA HISIA ZAKE

Alichokisema rihanna

Ukimuuliza mtu yeyote duniani,kati ya wanamuziki wenye mvuto zaidi, jina la Rihanna haliwezi kukosekana kutajwa.

Lakini hivi karibuni, Rihanna ametushangaza wote kwa kuweka wazi sehemu ya mwili wake ambayo haipendi kuliko vyote.

Amekieleza chombo cha habari cha E! kwamba, “Kila mwanamke huwa na tabia ya kujiatzama kwenye kioo, na kujikagua zaidi hata ya dunia inavyokukagua. Binafsi huwa najiangalaia na sipendi makalio yangu yalivyo. Huwa naangalia kila siku kuona kama yameongezeka ukubwa lakini kila siku nayaona ‘flat'”