DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Monday 1 May 2017

RIHANA ATOA HISIA ZAKE

Alichokisema rihanna

Ukimuuliza mtu yeyote duniani,kati ya wanamuziki wenye mvuto zaidi, jina la Rihanna haliwezi kukosekana kutajwa.

Lakini hivi karibuni, Rihanna ametushangaza wote kwa kuweka wazi sehemu ya mwili wake ambayo haipendi kuliko vyote.

Amekieleza chombo cha habari cha E! kwamba, “Kila mwanamke huwa na tabia ya kujiatzama kwenye kioo, na kujikagua zaidi hata ya dunia inavyokukagua. Binafsi huwa najiangalaia na sipendi makalio yangu yalivyo. Huwa naangalia kila siku kuona kama yameongezeka ukubwa lakini kila siku nayaona ‘flat'”

No comments: