DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Monday 27 March 2017

NAPE ATOA YA MOYONI BAADA YA RAISI KURUHUSU WIMBO WA NEY

Noma Sana..Nape Aibuka na Haya Baada ya Rais Magufuli Kuruhusu Wimbo wa Nay wa Mitego...!!!


ALIYEKUWA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye kupitia ukurasa wake wa twitter amechapisha ujumbe wenye kutaka itumike busara na siyo nguvu katika kufanya maamuzi.

Aidha ujumbe huo ulikwenda sambamba na picha ya msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’.

Nape ameonyesha kuguswa baada ya kukamatwa kwa mwanamuziki huyo na alipoachiwa huru amepongeza uamuzi uliofanyika na kusisitiza mara zote busara inastahili kutumika.


No comments: