DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Saturday 6 January 2018

FAIDA 20 ZA KUTUMIA TUNDA LA NANASI

NANASI ni tunda lenye ladha nzuri. Mbali na kutumika kama tunda ama juisi yake kutumika kama kinywaji, tunda la nanasi lina faida mbalimbali kwa afya ya mwanadamu.
Baadhi ya faida hizo ni pamoja na :
i. UTAJIRI WA VITAMINI NA MADINI :
Nanasi ina vitamini A,B na C na pia ina madini ya chuma, calcium, copper na phosphorous ambayo yote ni muhimu sana katika afya ya mwanadamu.
ii. Tunda hili husaidia kutengeneza damu
iii. Nanasi husaidia kuimarisha mifupa , meno, neva na misuli (muscles).
iv. Tunda la nanasi hutibu matatizo ya tumbo.
v. Hutibu matatizo ya Bandama
vi. Hutibu matatizo ya Ini
vii. Husaidia kusafisha Utumbo mwembamba
viii. Husaidia kutibu Homa
ix. Husaidia kutibu Vidonda mdomoni
x. Husaidia kutibu Magonjwa ya koo
xi. Husaidia kutibu tatizo la Kupoteza kumbukumbu
xii. Husaidia kutibu maradhi ya akili Kukosa mori (low spirit)
xiii. Husaidia kutibu Kikohozi
xiv. Husaidia kutibu tatizo la Kutetemeka
xv. Husaidia kutibu tatizo la Woga ( Anxiety )
xvi. Husaidia kutibu matatizo ya wanawake (upungufu wa hormones au makosa fulani katika sehemu za siri )
xvii. Huondoa shida ya kufunga choo
xviii. Hutibu tatizo la baridi yabisi
xix. Husaidia katika kutibu tatizo la Upungufu wa damu
xx. Pia tunda hili huwasaidia akina mama wanaonyonyesha (wenye maziwa machache)

No comments: