DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Friday 24 September 2021

AJALI YAUA MWANDISHI WA HABARI

 

Mwandishi wa habari wa ITV /RadioOne  mkoa wa Songwe Gabriel Kandonga amefariki dunia leo alfajiri  septemba 24,2021 kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Karasha karibu na shule ya msingi Mlowo Mbozi wakati wakielekea Mkwajuni.



No comments: