DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Monday 18 October 2021

MWALIMU ATIWA MBARONI KWA KUMNG'OA JINO MWALIMU MWENZAKE KWA KICHAPO

 


Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mkuyuni aliyefahamika kwa majina ya Mussa Hasira   Tarafa ya Mkuyuni Morogoro vijijini anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro  tuhuma za kumpiga hadi kumng'oa jino la juu  Mwalimu mwezake, Witnes Makoti huku chanzo kikiwa bado hakijulikani.

Kamanda wa Polisi wa Polisi Morogoro, Fortunatus Musilimu ametbibitisha kushikiliwa Kwa mtuhumiwa huku akisema kuwa tukio hilo limetokea  Oktoba 15 mwaka huu shuleni hapo ambapo alimpiga kwa kutumia Fimbo, Ngumi na kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili.

Gusa link hiyo kwa ajili ya kupata burudani ya Muziki muda wote wote na Dealplus online radio
                                      https://onlineradiobox.com/tz/dealplus/?cs=tz.dealplus&p=1


No comments: