DEAL PLUS

Karibu DEALPLUS BLOG uweze kupata habari za Michezo, Siasa, Afya na Burudani kutoka ndani na nje ya nchi.

Breaking


Monday 9 August 2021

MKUDE AREJEA KIKOSINI SIMBA



 Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba ya Dar es Salaam, kimeingia kambini leo Jumatatu kujiandaa na msimu ujao.


Miongoni mwa wachezaji walioripoti ni kiungo Jonas Mkude ambaye alikuwa amesimamishwa kwa utovu wa nidhamu.

No comments: